Hivi maisha bora yapo ughaibuni
>> YOUR LINK HERE: ___ http://youtube.com/watch?v=9uBlI7dfdlQ
Kumekuwa na dhana na hasa kwa vijana wengi kwamba maisha mazuri yapo huko ughaibuni, hatua iliyosababisha wengi kuamua kutafuta namna ya kwenda huko. Wanasema wanaweza kupata kazi kirahisi huko na Afrika ambako wanaona kuna umasikini na hakuna fursa za ajira iwe. Je, hili lina ukweli gani? #Kurunzi
#############################
