DHAMBI YA UZINZI INA ANGAMIZA FAMILIAMWL GOODLUCK MUSHI
>> YOUR LINK HERE: ___ http://youtube.com/watch?v=DXmGqjPXgnc
Mwalimu Goodluck Mushi anafundisha kupitia maandiko matakatifu juu ya dhambi ya uzinzi na uasherati inavyoadhiri familia, huduma na shughuli za kiuchumi. • anatolea mfano ROHO YA YEZEBELI (THE SPIRIT OF JEZEBEL) jinsi ilivyotingisha falme. • hadi sasa roho ya Yezebeli inaendelea kuwakumba wanadamu kwa namna mbalimbali. • endelea kufuatilia na hakika utapata kitu. • hii ni sehemu ya masomo yanayoendelea yenye kichwa • UMUHIMU WA KUOMBEA NJIA YAKO DUNIANI • KATIKA MAJIRA MAPYA • MWANZO 6:12;20:1-3,17-18 • WARUMI 6:23 • KUTOKA 20:14 • RUMI 7:19-20 • 1KOR 6:18 • 1KOR 6:16 • HESABU 25:1-3 • • Kwa mlio mbali karibu Subscribe ili tuungane pamoja kupitia Youtube Channel yetu (KKKT KARIAKOO) katika ibada zetu zote #LIVE. Pia waweza kufuatilia mafundisho mafupi mafupi kupitia Instagram (@lutheran_kariakoo) • ~-~~-~~~-~~-~ • Please watch: Moto@KKKT KARIAKOO • • Moto@KKKTKARIAKOO • ~-~~-~~~-~~-~
#############################
![](http://youtor.org/essay_main.png)