Fasihi Simulizi Tanzu za fasihi simulizi Fasihi kwa ujumla FASIHI
>> YOUR LINK HERE: ___ http://youtube.com/watch?v=GTnnGkPozPs
Tanzu na vipera vya fasihi simulizi • Fasihi simulizi imegawanyika katika tanzu (matawi) manne (4) ambayo ni: • (a) Hadithi • (b) Semi • (c) Ushairi • (d) Sanaa za maonesho /Maigizo • (A) HADITHI • Ni tungo za fasihi simulizi zitumiazo lugha ya nathari (lugha ya ujazo ya maongezi ya kila • siku). Masimulizi hayo hupangwa katika mtiririko unaokamilisha kisa. Hadithi huwa na • wahusika ambao ni nyenzo kuu ya kukiendesha kisa chenyewe. Wahusika wanaweza kuwa • wanyama, binadamu na kadhalika. • VIPERA VYA HADITHI • Hadithi hujengwa kwa vipera vifuatavyo: • (a)Ngano • (b)Vigano • (c) Visasili • (d)Tarihi • (e) Soga • NGANO • Ni hadithi za kimapokeo zitumiazo wahusika kama wanyama, miti na watu katika kuelezea • au kuonya kuhusu maisha. Hizi ni hadithi za maadili ambazo husimuliwa katika mazingira ya • starehe, nazo huadili watu katika maisha. • Maranyingi hadithi za ngano mwisho wake huwa ni wa kufurahisha. • KARIBU SAANA • Pia mwishoni nakuonesha badhii ya mitihani na maswali yaliyo tungwa na baraza la mitihani ( past paper) kutokana na kile nilichofundisha karibu saana • CRUST, MANTLE, CORE...... • JINSI YA KUFAULU SOMO LA GEOGRAPHY. #... • ROCKS..... • Jinsi ya kufaulu mtihani wa kidato ch... • JINSI YA KUPATA PAST PAPER..... • Jinsi ya kupata mitihani mtandaoni bu... • TYPES OF SEDIMENTARY ROCK.......... • JINSI YA KUFAULU SOMO LA GEOGRAPHY #P... • ROCK CYCLE................ • Jinsi ya kufaulu GEOGRAPHY /METAMORPH... • #NECTA #kufaulu #JINSIYAKUFAULU #GEOGRAPHY #FORM3 #KIDATOCHANNE • KARBU SAANA
#############################
