Magoli Azam FC 21 Yanga SC NBC Premier League 17032024











>> YOUR LINK HERE: ___ http://youtube.com/watch?v=MURKbfaSiyI

DAR DERBY: Yanga SC imeangukia pua kwa kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Azam FC, katika #DarDerby iliyopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. • Yanga imetangulia kupata bao kupitia kwa Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Azam kuchomoa dakika ya 19 kwa goli la Gibril Sillah na kisha Feisal Salum akafunga la ushindi dakika ya 51.

#############################









Content Report
Youtor.org / YTube video Downloader © 2025

created by www.youtor.org