FAIDA 8 ZA TANGAWIZI KWA KUKU
>> YOUR LINK HERE: ___ http://youtube.com/watch?v=PJabASM8hUo
Tangawizi na faida zake kwa kuku katika kupambana na magonjwa na kuongeza Kinga IMARA ya kuku • ✍️Tangawizi usaidia kuongeza Kinga, Tiba ya mafua, uongeza joto kwa kuku hivyo utagaji UWA kwa kiasi kikubwa sana, Pia ufanya kuku kua mchangamfu • ✍️KWA faida na Matumizi ya mazao ya asili waweza tembelea Channel hii kujifunza zaidi. Bonyeza apa • / @agalustv • ✍️Jifunze matumizi ya Binzari, Mkaa, Kabeji, Mdarasini, Vitunguu saumu n. K vyote ivyo ndani ya channel YETU,🙏🙏🙏
#############################
