Yanga Princess 03 Simba Queens Highlights Ligi ya Wanawake 05032021













YOUR LINK HERE:


http://youtube.com/watch?v=ZNBcx_XUfK4



YANGA VS SIMBA: Timu ya Wanawake ya Simba imepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya watani wao wa jadi Yanga Princess katika mchezo wa ligi ya wanawake uliopigwa leo kwenye Dimba la Uhuru, Dar es Salaam. • Magoli ya Simba kwenye mchezo huu yamefungwa na Mwanahamisi Omary, Opah Clement na Joell Bukuru. • Ushindi huu umeifanya Simba ikae kileleni ikifikisha pointi 39 huku Yanga wakibaki na pointi zao 38 katika nafasi ya pili. • Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- • ►INSTAGRAM:   / azamtvtz   • ►INSTAGRAM:   / azamsports2   • ►TWITTER:   / azamtvtz   • ►FACEBOOK:   / azamtvtz   • ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz

#############################









Content Report
Youtor.org / YTube video Downloader © 2025

created by www.youtor.org