MTOTO WA KIKE AIBUKA KWENYE 10 BORA MTIHANI WA HISABATI UWEKEZAJI ZAIDI WATAKIWA
>> YOUR LINK HERE: ___ http://youtube.com/watch?v=_o0D3yYKSps
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Hisabati Tanzania MAT|CHAHITA kutoka katika Mhadhiri wa Idara ya Hisabati Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. Sylvester Rugeihyamu amesema kutokana na kukimbia kwa tekonolojia watoto wanataakiwa kufundishwa ama kushauriwa kwa namna yeyote kulipenda somo la Hisabati ili kwenda sambamba na mabadiliko ya kiteknolojia. • #sports #entertainment #BONGONEWSTV Usisahau ku-subscribe channel hii kwa taarifa nyingi zaidi na pia tembelea mitandao yetu ya kijamii Instagram @bongonewstz twitter @bongonewstz na Facebook @bongonewstz
#############################
