Kifo cha nyuki kinaacha maswali mengi Mombasa











>> YOUR LINK HERE: ___ http://youtube.com/watch?v=zHc-4CkZRuo

Wakaazi wa mtaa wa Bengala huko kisauni wametamausha na kifo tata cha mmoja wao baada ya tukio la ajabu lililohusisha nyuki.. Eric Miesi alikufa jana jioni, saa 24 baada ya kujaribu kuwafukuza nyuki waliokuwa wanafyonza supu moto. Gumzo mtaani humo ni kifo cha Eric ni mazingaombwe?. Ferdinand omondi ana taarifa kamili. • Watch KTN Streaming LIVE from Kenya 24/7 on http://www.ktnkenya.tv • Follow us on   / ktnkenya   • Like us on   / ktnkenya  

#############################









Content Report
Youtor.org / YTube video Downloader © 2025

created by www.youtor.org