MATAPELI WA MADINI WADAKWA MANYARA
#############################
Video Source: www.youtube.com/watch?v=bQFlCiuv-_A
Watu watatu Mkoani Manyara wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kufanya utapeli wa kuuza madini feki yenye ya thamani ya mil 49. • Akizungumza mbele ya waandishi wa habari,mjini Babati Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Manyara anasema Jeshi la Polisi limeji-panga kuvunja mtandao wa watu kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu • • • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani • BONYEZA LINK 👉👉 https://chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB... • • Subscribe hapa : https://bit.ly/2UBtyaG • Tufuate Kwenye Twitter : https://bit.ly/2UFkrWH • Like Ukurasa wetu wa Facebook : https://bit.ly/2XbYro5
#############################