WANANCHI MWANZA WAMIMINIKA OFISI YA ARDHI KUCHUKUA HATI ZAO
#############################
Video Source: www.youtube.com/watch?v=uwg-_iD4XB4
Na Cyprian Magupa, Mwanza • Baadhi ya wananchi katika Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza wameelezea furaha yao baada ya kupatiwa hati miliki zao katika zoezi la Ardhi Kliniki linaloendelea katika viwaja vya furahisha. • Wakizungumza na Daily News Digital wananchi hao wamesema kuwa hati hizo zitawasadia katika mambo mbalimbali ikiwemo kupunguza migogoro ya ardhi • Follow us on: • FACEBOOK; • SpotiLeo: / spotileo-176. . • HabariLeo: / habarileo • DailyNews: / dailynewstz • INSTAGRAM; • HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... • SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... • TWITTER; • Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09
#############################